Septemba 16, 2025
10 Tracks
00:00
1X
- Kwa nini shambulio la Israel dhidi ya Iran si tukio tu... bali ni dhihirisho jingine la vita kati ya haki na batili? Tutajaribu kujibu swali hili katika podikasti hii mpya. Tangu mwanzo alikuwa peke yake; bila mwenza, asiyehitajia chochote, na aliye juu ya zama na wakati. Na alipotaka jambo liwe, alisema; "kuwa" na[...]
- Katika kipindi hiki cha pili katika mfululizo huu wa vipindi vya Ukweli Kuhusu Haki, Tangu Mwanzo wa Historia Hadi Leo, tutazungumzia uwongo na mitihani ya Wana wa Israili hadi kudhihiri kwa Uzayuni. Tangu mwanzo alikuwa peke yake; bila mwenza, asiyehitajia chochote, na aliye juu ya zama na wakati. Na alipotaka jambo liwe, alisema;[...]
- Historia ni simulizi inayojirudiarudia lakini haina maana kwamba haina faida yoyote. Hujikariri ikiwa na sura mpya katika kila mlango na kuangazia pambano la kale kati ya haki na batili — tokea mashujaa wa kale hadi machaguo yetu ya kila siku maishani. Tangu mwanzo alikuwa peke yake; bila mwenza, asiyehitajia chochote, na aliye juu ya[...]
- Historia ni simulizi inayojirudiarudia lakini haina maana kwamba haina faida yoyote. Hujikariri ikiwa na sura mpya katika kila mlango na kuangazia pambano la kale kati ya haki na batili — tokea mashujaa wa kale hadi machaguo yetu ya kila siku maishani. Tangu mwanzo alikuwa peke yake; bila mwenza, asiyehitajia chochote, na aliye juu ya zama[...]
- Katika alfajiri ya umwagaji damu, wakati anga ya Iran ilipokuwa inateketea chini ya moto wa adui, irada madhubuti iliibuka ambayo si tu ulizuia wimbi la kwanza la hujuma, bali pia ilibadilisha simulizi ya vita. Siku 12 za vita ambazo zilibuni muundo mpya wa ulinzi, mapambano na ushindi kutoka kwenye vifusi na moto. Mwanzoni, kulikuwa[...]
- Katika kipindi cha siku 12 za vita, na kufuatia amri ya moja kwa moja ya Kiongozi wake Mkuu, Iran ilijitoa katika hali ya kujilinda na kubadilisha kabisa mlingano wa vita kwa kuanzisha mashambulio makali na yaliyoratibiwa ya makombora ndani kabisa ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na katika kambi ya kijeshi ya Marekani ya Al-Odeid huko[...]
- Vita vya leo vya vyombo vya habari ni sura mpya ya vita vile vile vya muda mrefu kati ya haki na batili. Medani ya Vita imehamishwa kutoka kwenye matuta ya mchanga katika nchi kavu hadi kwenye mawasiliano ya simu na habari za televisheni, ambapo risasi hutengenezwa kwa maneno, picha na tungo. Katika kampeni hii,[...]
- Vita vya kulazimishwa vya siku 12 vya Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havikuisha kwa kusitishwa mapigano, bali vilimalizika kwa kuanza msimu mpya, ambao ngano ya "uzuiaji wa Israel" iliporomoka, nafasi ya Iran katika mlingano wa kieneo ikafafanuliwa upya, na ushindi wa haki dhidi ya batili ukahama kutoka kwenye uwanja wa vita hadi[...]
- Tangu mistari ya kwanza ya uumbaji hadi leo, historia inasimuliwa kwa mstari mmoja tu wa kudumu: Pambano kati ya haki na batili. Baada ya ushindi wa Iran katika vita vya kulazimishwa vya Israel, episodi hii inasonga mbele katika njia ndefu ya vita hivi kuanzia Habil na Musa hadi Ashura na muqawama wa leo,[...]
- Katika kipindi cha mwisho cha podikasti hii ya Ukweli kuhusu Haki, Tangu Mwanazo Hadi Mwisho", tutapata kujua kwamba ushindi wa leo wa Iran dhidi ya Uzayuni sio mwisho wa vita bali ni mwanzo wa msimu ambapo "mapambano na muqawama" vinageuka kuwa "usanifu wa mustakbali wa baadaye". Msimu ambao unaibuka kutoka kwenye kina cha historia[...]