Hebu jaribu kufikiria Ulaya ya Zama za Kati iliyokuwa imezama katika mduara wa kudumaa kitaasisi na kifikra. Sambamba na hali hiyo, ulimwengu wa Kiislamu ulinawiri kielimu na kistaarabu.
Hebu jaribu kufikiria Ulaya ya Zama za Kati iliyokuwa imezama katika mduara wa kudumaa kitaasisi na kifikra. Sambamba na hali hiyo, ulimwengu wa Kiislamu ulinawiri kielimu na kistaarabu.