Kwa miaka mingi Israel imekuwa ikisisitiza kwamba, taifa la Mayahudi lina mzizi mmoja katika nchi ya Kan’an. Lakini watu hao wa kale ghafla moja hivi sasa wamepatikana Asia Mashariki. Imekuwakuwaje?
Kwa miaka mingi Israel imekuwa ikisisitiza kwamba, taifa la Mayahudi lina mzizi mmoja katika nchi ya Kan’an. Lakini watu hao wa kale ghafla moja hivi sasa wamepatikana Asia Mashariki. Imekuwakuwaje?