Januari 3, 2026
45 Tracks
00:00
1X
- Podkasti ya Israel, Talmudi na Mauaji ya Kigaidi ni uchunguzi wa historia ya siri ya mauaji ya kukusudia yaliyofanywa na utawala wa Israel. Uchunguzi huu umetokana na kitabu chenye jina lenye mfanano na anuani ya Podkasti hii. Kitabu hicho kilichoandikwa mwaka 2018 na mmoja wa waandishi mashuhuri wa Israel, Ronen Bergman kinaitwa Rise And Kill[...]
- Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu ya pili ya Podikasti yetu: Israel, Talmudi na Mauaji ya Kigaidi. Ni uchunguzi wa historia ya siri ya mauaji ya kukusudia yaliyofanywa na utawala wa Israel. Uchunguzi huu umetokana na kitabu chenye jina lenye mfanano na anuani ya Podkasti hii. Kitabu hicho kilichoandikwa mwaka 2018 na mmoja[...]
- Podkasti ya Israel, Talmudi na Mauaji ya Kigaidi ni uchunguzi wa historia ya siri, ya mauaji ya kukusudia yaliyofanywa na utawala wa Israel. Uchunguzi huu umetokana na kitabu, chenye jina lenye mfanano na anuani ya Podkasti hii. Kitabu hicho kilichoandikwa mwaka 2018 na mmoja wa waandishi mashuhuri wa Israel, Ronen Bergman kinaitwa Rise And Kill[...]
- Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu ya nne ya Podikasti yetu: Israel, Talmudi na Mauaji ya Kigaidi. Ni uchunguzi wa historia ya siri ya mauaji ya kukusudia yaliyofanywa na utawala wa Israel. Katika episodi hii tutaeleza namna vitengo 504 na 101 vya ujasusi na ugaidi vya utawala wa Kizayuni vilivyoundwa, na tutazungumzia baadhi[...]
- Hii ni episodi ya tano ya Podkasti ya “Israel, Talmudi na Mauaji ya Kigaidi” ambayo itaangazia sehemu ndogo tu ya jinai na mauaji ya makusudi, yaliyofanywa na vitengo viwili vya kigaidi vya utawala wa kizayuni wa Israel viitwavyo 505 na 101. Huku nikitumai kuwa hujambo msikilizaji mpenzi popote ulipo, ningependa kujua, wewe kwa upande wako,[...]
- Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu ya sita ya Podikasti yetu: Israel, Talmudi na Mauaji ya Kigaidi. Ni Uchunguzi wa historia ya siri ya mauaji ya kukusudia yaliyofanywa na utawala wa Israel. Je hadi sasa umewahi kujiuliza ni serikali gani ya kigaidi zaidi duniani? Kwa mtazamo wako, inawezekana kutasawari kwamba utawala ambao uwepo wake bandia[...]
- Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili Sauti ya jamhuri ya Kiislamu ya Iran hususan huko nyumbani Afrika Mashariki. Karibuni katika Podikasti hii mpya ambapo tutachunguza na kujadili Makosa Kumi Mashuhuri Kuhusu Israel ambayo ni jina la kitabu cha Ten Myths About Israel kilichoandikwa na Myahudi[...]
- Ni matumaini yangu kuwa, hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo na karibu kutegea sikio sehemu ya 3 ya Podikasti hii ya Makosa 10 Mashuhuri Kuhusu Israel. Katika Podikasti hii kama tulivyosema katika sehemu zilizotangulia tutabainisha mambo kumi kuhusu Israel ambayo watu wengi wanadhani ni ya kweli kumbe si kweli. Katika kipindi kilichopita, tulizungumzia kuhusu uwongo[...]
- Ni matumaini yangu kuwa, hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo na karibu kutegea sikio sehemu ya 5 ya Podikasti hii ya Makosa 10 Mashuhuri Kuhusu Israel. Katika Podikasti hii kama tulivyosema katika sehemu zilizotangulia tutabainisha mambo kumi kuhusu Israel ambayo watu wengi wanadhani ni ya kweli kumbe si kweli. Katika sehemu ya tano ya Podikasti[...]
- Ni matumaini yangu kuwa, hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo na karibu kutegea sikio sehemu ya 7 ya Podikasti hii ya Makosa 10 Mashuhuri Kuhusu Israel. Katika vipindi vilivyopita, tulibainisha hadithi na ngano sita za zamani kuhusu Palestina ambazo ziliundwa na Uzayuni. Tulifafanua kila moja yao kikamilifu na tukakanusha kwa kuzingatia ukweli wa kihistoria na[...]
- Ni matumaini yangu kuwa, hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo na karibu kutegea sikio sehemu ya 9 ya Podikasti hii ya Makosa 10 Mashuhuri Kuhusu Israel. Katika podikasti hii, tutajadili mambo matatu ambayo ni katika uwongo wa Israel kuhusu Gaza, kulingana na kitabu cha Ilan Payne. Moja ni kwamba Hamas ni kundi; pili ni kwamba[...]
- Nchi Bandia Ni matumaini yangu kuwa hamjambo Wapenzi Wasikilizaji na karibuni katika sehemu ya pili ya Podikasti hii ya Palestina; Milki ya Ibrahim (as). Katika kila Katika sehemu ya pili ya podikasti yetu hii tutazungumzia na kubainisha ukkwamishaji mambo na njama za Wazayuni dhidi ya ardhi ya Palestina na uvamizi wao usio wa kibiinadamu kwa[...]
- (Kuundwa Uzayuni) Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingtine ya Podikasti hii ya Palestina; Milki ya Ibrahim (as). Katika sehemu tano zilizotangulia za “Palestina, Milki ya Ibrahimu”, tulichunguza madai ya Wazayuni kwamba Nchi ya Ahadi ilikuwa makazi ya babu zao kwa mtazamo wa Torati, na leo katika sehemu ya sita[...]
- Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingtine ya Podikasti hii ya Palestina; Milki ya Ibrahim (as). Katika sehemu tano zilizotangulia za “Palestina, Milki ya Ibrahimu”, tulichunguza madai ya Wazayuni kwamba Nchi ya Ahadi ilikuwa makazi ya babu zao kwa mtazamo wa Torati, na leo katika sehemu ya sita wapenzi wasikilizaji[...]
- Chuki dhidi ya Uyahudi ni kweli? Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya Podikasti hii ya Palestina; Milki ya Ibrahim (as). Wazayuni wanadai kwamba daima wamekuwa wakikabiliwa na hisia na tabia za chuki dhidi ya Wayahudi; wanasisitiza kwamba chuki dhidi ya Wayahudi ni harakati ya kitaasubi ambayo haina msingi[...]
- Mustakabali wa Palestina Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya Podikasti hii ya Palestina; Milki ya Ibrahim (as). Patika sehemu ya 10 na ya mwisho ya Podikasti hii ya “Palestina, Milki ya Ibrahimu”, tutaangazia mwenendo wa kujitokeza hali ya sasa ya Palestina na namna ardhi ya nchi hiyo ilivyoporwa[...]